Democrasia
Member
- Feb 1, 2008
- 79
- 3
Jamani naombeni kupata ufafanuzi kuhusu sheria za usalama barabarani, JE TRAFIKI ASIPOWEKA PLATE NAMBA KWA GARI YAKE NI HALALIHii naiona sana hapa Arusha kwa Police traffic mmoja anayeitwa Hemedi mwenye gari Aina ya Cortina lisilo na plate namba,Jana nilishuhudia polisi trafiki wakiwa wanakamata magari eneo la Tengeru na alipopita hemedi bila namba yeye aliruhusiwa kupita bila hata ya kusalimia, Je jamani ni sahihi? Naombeni ufafanuzi wa kisheria hapo, kama wao wako wako tofauti na wengine