wadau natafuta iphone, kama kuna mwenye connection na hizi bizness anijulishe bei ya iphone 3gs na 4gs kwa hapa bongo na kwa nje ya bongo ninaweza kuagiza vipi.... naomba mawazo ni kwa jinc gani naweza pata genuine product kwa bei nafuu zaidi, hata kwa kuagiza.
pia naomba mnijulishe jinc ya kuchek kama ni genuine au ya kichina.
ni hayo tu wadau............ plz help!
pia naomba mnijulishe jinc ya kuchek kama ni genuine au ya kichina.
ni hayo tu wadau............ plz help!