Jonas justin
Member
- Oct 31, 2010
- 90
- 3
naombeni msaada mwili wangu unaniwasha sana pale ninapopita kwenye jua kali na nikipata joto na pia wakati na fanya mazoezi mwili unakua unaniwasha.Nikiazwa kuwashwa nakua najisikiakama vitu vina nichoma kama sindano au miba ila vinakua mwili mzima nishaendaga hospitalini wakaniambia niache kula maharage lakini bado tatizo linaendelea naombeni msaada na ushauri nifanye nini.