Naombeni msaada wenu

Hope1

Senior Member
Aug 26, 2012
195
52
Poleni na kazi na mihangaiko wan JF. mimi niliomba chuo na kozi mwaka wa masomo 2012/2013, kutokana na masharti ya mkopo inaonekana kipaumbele kipo kwenye baadhi ya kozi.kwa wale wa Arts kipaumbele kipo kwenye kozi ya Education tena maximum ni 50%.kwa vile sina jinsi ikabidi niombe hivyo hivyo hata hiyo 50%.nilichagua kozi saba zote za education na zote nilikuwa eligible.
1.Bacherol of education in ICT-UDOM Tuition fee 700,000/-
2.Bacherol of education in adult education and commonity education-UDSM Tuition fee 1,000,000/-
3.Bacherol of education in Policy, planning and management -UDOM Tuition fee 700,000/-
4.Bacherol of education in management and administration-UDOM Tuition fee 700,000/-
5.Bacherol of Arts with education-UDSM Tuition fee 1,000,000/-
6.Bacherol of Arts with education-DUCE Tuition fee 1,000,000/-
7.Bacherol of Arts with education-SAUT Tuition fee 950,000/-

kwenye machaguo yote nimepat SAUT ada yao si laki tisa na nusu ni miolioni moja laki mbili na zaidi.kilichonipa shida mpaka nikaomba ushauri kumbe hiki chuo hakina hosteli yaani mpaka upange mtaani.Mpaka sasa nimechanganyikiwa.Nilikuwa nimejifariji kuwa kama nitalipiwa 450,000/- na bodi basi mimi nitajibana nilipie 450,000/- kutoka kwenye meals and accomodation.
Naomba mnisaidie Je, kuna uwezekano nikapangwa UDOM kozi yoyote tu ya Education maana ada yao kidogo ina unafuu na nasikia kuna hosteli.
Nimesoma Advanced secondary education nikiomba omba na wakati mwingine nafanya vibarua ili nipate ada na nilipomaliza wale waliokuwa wananisaidia waliniambia fika niombe kozi zenye mkopo. Nilipowaambia nimepata chuo na jinsi kilivyo wamenilaumu ni kwanini nimeomba chuo cha private.
Jamani kuendelea na masomo napenda sana ila naona kizuizi mbele yangu.Nifanyeje?
Pia naombeni contact za TCU e-mail address na namba ya simu.Hata wao niwalilie.
 
Dah pole sana,jaribu kuwasiliana na wanaosoma SAUT mwaka wa pili na kuendelea maybe watakupa njia nyingine nzuri.Ni maoni yangu
 
Alafu hata mimi sijaelewa apo kwenye ada kwa sababu ile tcu guide book imeonesha ada ni 9500000 nashangaa uku chuoni ni milion na laki mbili na arobaini hivi kwanini iko hivyo? Wakuu ata mimi apo naomba msaada wa mawazo!!! Alafu mtoa maada umepangiwa Saut branch au main campas?
 
Alafu hata mimi sijaelewa apo kwenye ada kwa sababu ile tcu guide book imeonesha ada ni 9500000 nashangaa uku chuoni ni milion na laki mbili na arobaini hivi kwanini iko hivyo? Wakuu ata mimi apo naomba msaada wa mawazo!!! Alafu mtoa maada umepangiwa Saut branch au main campas?

SAUT branch ndo wapi?, mimi nimepangwa Mwanza main campus.
 
Poleni na kazi na mihangaiko wan JF. mimi niliomba chuo na kozi mwaka wa masomo 2012/2013, kutokana na masharti ya mkopo inaonekana kipaumbele kipo kwenye baadhi ya kozi.kwa wale wa Arts kipaumbele kipo kwenye kozi ya Education tena maximum ni 50%.kwa vile sina jinsi ikabidi niombe hivyo hivyo hata hiyo 50%.nilichagua kozi saba zote za education na zote nilikuwa eligible.
1.Bacherol of education in ICT-UDOM Tuition fee 700,000/-
2.Bacherol of education in adult education and commonity education-UDSM Tuition fee 1,000,000/-
3.Bacherol of education in Policy, planning and management -UDOM Tuition fee 700,000/-
4.Bacherol of education in management and administration-UDOM Tuition fee 700,000/-
5.Bacherol of Arts with education-UDSM Tuition fee 1,000,000/-
6.Bacherol of Arts with education-DUCE Tuition fee 1,000,000/-
7.Bacherol of Arts with education-SAUT Tuition fee 950,000/-

kwenye machaguo yote nimepat SAUT ada yao si laki tisa na nusu ni miolioni moja laki mbili na zaidi.kilichonipa shida mpaka nikaomba ushauri kumbe hiki chuo hakina hosteli yaani mpaka upange mtaani.Mpaka sasa nimechanganyikiwa.Nilikuwa nimejifariji kuwa kama nitalipiwa 450,000/- na bodi basi mimi nitajibana nilipie 450,000/- kutoka kwenye meals and accomodation.
Naomba mnisaidie Je, kuna uwezekano nikapangwa UDOM kozi yoyote tu ya Education maana ada yao kidogo ina unafuu na nasikia kuna hosteli.
Nimesoma Advanced secondary education nikiomba omba na wakati mwingine nafanya vibarua ili nipate ada na nilipomaliza wale waliokuwa wananisaidia waliniambia fika niombe kozi zenye mkopo. Nilipowaambia nimepata chuo na jinsi kilivyo wamenilaumu ni kwanini nimeomba chuo cha private.
Jamani kuendelea na masomo napenda sana ila naona kizuizi mbele yangu.Nifanyeje?
Pia naombeni contact za TCU e-mail address na namba ya simu.Hata wao niwalilie.
0712722684 hizo ndo namba zao....ila pole sana,jua yenye mwanzo yana mwisho...all the best!!!
 
Kama wewe ni Mcha Mungu usirudi nyuma na Mungu ana mpango mkubwa juu yako inawezekana umepelekwa saut ili utimize sehemu fulani ya mpango wake jinsi alivyokuwezesha advance usiogope atakuwezesha mbeleni tuombeane wana Jf watakaopata loan kila mtu mwenye moyo hata akitoa 5,000 watu 100 zinaweza kusaidia great thinkers nawakaribisha mwendelee.
 
wewe acha woga ndugu yangu then pole kwa matatizo lakini usiogope sana mungu yupo pamoja na wewe siku zote jaribu tafuta udom ikishindikana basi nenda saut kuna hostel za ndani ni 210000 per year ila inatakiwa uwahi coz ni chache na ukikosa ingia mtaani tafuta vyumba vya bei rahisi sio lazima ukae nyumba ya milion
 
pole mkuu mi naona cha msingi ni kutengeneza plan zaid ya 1 kuliko kusubir siku ya kufungua chuo
 
Ckia kakangu uwezekano wa kuhama chuo upo na inawezekana kabsa me mwnywe nlipangwa hko saut bt nikahangaika kutafta uhamisho nw npo st john campas ya dar cha kufanya we nenda tcu eleza shda yko thn utaambiwa uandke sababu za kuhama, bt huwa wana consider sana ugonjwa fanya hvyo thn uafanikiwa bt fanya hvyo b4 vyuo havijafunguliwa
 
Back
Top Bottom