under_score
Senior Member
- Nov 2, 2011
- 190
- 45
habari waungwana?
kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya jambo hili wakuu, em naombeni kujuzwa tafadhali, hivi mwanamke yu aweza kuwa kwenye bahati ya kubeba ujauzito baada ya siku ngapi kupita tokea siku ya mwisho ya kumaliza hedhi ?
we are planning into making a baby in 2012!
kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya jambo hili wakuu, em naombeni kujuzwa tafadhali, hivi mwanamke yu aweza kuwa kwenye bahati ya kubeba ujauzito baada ya siku ngapi kupita tokea siku ya mwisho ya kumaliza hedhi ?
we are planning into making a baby in 2012!