Ni pm nikupe mwongozolast three months nilipatwa na msiba baba yangu kipenzi, tukazika salama na kila kitu kimeenda vizuri hakukuwa na tatizo lolote..about two weeks sasa yamenza kubumburuka mambo ya nani mrithi wa marehemu...mzee ameacha mtoto mmoja ambaye ndio mimi ninaye andika hii thread na mke ambaye ndio mama yangu mzazi, kiukweli mzee hakuwa na mali za hivyo amecha nyumba yake moja ya kawaida tu na shamba moja na kagari ...sasa kuna baba yangu mkubwa mmoja amenza kusema kwakuwa marehemu ameacha mtoto wa kike basi lazima arithi na ndugu mmoja wa kiume na akapendekeza mwanawe ndio awe mrithi na blaa blaa kibao ...sasa jamani wanaJf wenzangu hii imekaaje