Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Habar wana bodi naombeoni kujuzwa ni nini hiki kinachojitokeza kwenye ulimi wangu kipindi ambacho nimekula chungwa au kitu kichungu chenye ladha ya limao kipele au kidonda humea katika ulimi kwa kasi ya ajabu na baada ya dakika 5 hupasuka damu nashindwa kuelewa ni nini hiki?