Naombeni msaada wenu kuhusiana na aina mbali za business registration

Michael Amon

JF-Expert Member
Dec 22, 2008
8,775
3,610
Naombeni msaada wenu wataalamu wa business kuhusiana na aina mbali za business registration. Ninaomba kupata maelezo kuhusiana na aina mbali mbali za business and company registration. Kwa upande wangu mimi naelewa aina mbili za company registration ambayo ni Private company na public lakini kuna baadhi ya company extetions ambazo nimeziona katika baadhi ya makampuni na sijaelewa maana yake na usajili wake kama vile Radiant Scope Inc. na Microsoft Corporation. Hizo extension mbili za Inc na Corporation sijui kabisa maana yake na namna ya kusajili business au kampuni yako iwe na extension hizo.

Pia ningependa kupata maelezo kuhusiana na business resgitration mbali mbali kama vile individual, partnership, sole proprietor. corporation n.k

Natangulisha shukrani zangu za dhati kwa yeyote ambaye atajitolea kunisaidia katika hili.
 
1. Kuhusu Makampuni, Kwa huku Bomgo ninavyo juaykuna registration zaidi ya nne za makampuni

- PRIVATE COMPANY- Haya ni makampuni ya kawaida

- PUBLIC COMPANY- Hizi ni private company zinakuwakubwa na kuingia katika public compaby mfano TBL, CRDB, NMB na kazalika

- NGOs – Kuna NGOs zinazo sajiriwa kama kampuninon profit company au campuni zisizo kuwa na SHARE

- FOREIGN COMPANY- Hizi ni kampuni za nje ya nchiambazo zinakuja kuwekeza Tanzania so ni lazima zisajiliwe ili zi operate Tanzania,
MFANO

A. VODACOM TANZANIA- Hii si kampuni ya Tanzania naiko nchi nyingi sana so ili I operate Tanzania ni lazima isajiliwe tena Bongoili iendane na sheria za Makampuni za Tanzania hii ni kwa sababu kila nchi inasheria zake kuhusu makampuni na hazifanani hata kidogo

2. KUHUSU INC NA MICOSOFT – hapa ni kwamba shariaza kusajili makampuni zinadifer kati ya Nchi na Nchi Mfano huko majuu hakunanchi hawana neno LTD katika kampuni zao na Kuna badhi ya Nchi wao hawana nenoDIRECTOR OF COMPANY BALI WANA PRESIDENT WA KAMPUNI NA CEO, na kazalika
Kwa sheria za Tanzania si dhani kama kunaPRESIDENT OF COMPANY ila nchi zingine wapo Maraisi wa kampuni ambao ndowamiliki wa KAMPUNI HUSIKA

So hapo ni utofauti kati ya Nchi na Nchi


3. KUHUSU ,individual, partnership, sole proprietor – INDIVIDULA NA SOLE PROPRIETOR NIKITU KIMOJA
- SOLE PROPRIETORSHIP – Hapa unakuwa wewe kamawewe na RISK ZOTE UNABEBA WEWE KAMA WEWE, nah ii mara nyingi huwa haishauriwikutumiwa kwa sababu unabeba risk zote peke yako, hakuna wa kukusaidia

- PARTNERSHIP- Hapa ni pale mnapo kuwa wawili nakumua kuendesha as a partners

- COPERATION- Hapa ndo maswala ya LTD


4. KUHUSU KUTAFUTA PARTNERS
- Ishu ya kutafuta patiners ni ngumu sana ni zaidiya kutafuta Mme/mke, na hapa kwenye kutafuta mtu wa kufanya nae biasharaukifanya mistake utajuta maisha yako yote,

- SO INASHAURIWA KWAMBA MNAPO ANZISHA KAMPUNIUKIWA NA WENZAKO HAKIKISHA YAFUTAYO
1. Wewe unakuwa na share nyingi kuliko wenzako
2. Usi kubali mkagawana pasu kwa pasu, hii ni kamawewe ndo mtoa wazo/ AIDEA

3. Kama kampuni ina share 1000 wewe chukua share501 AU KATIKA SHARE WEE MILIKI 50.1%
WEWE- 50.1
MWENZAKO- 20%
MWENZAKO 5%
MWENZAKO 10%
MWENZAKO – 10%
MWENZAKO- 5.9%

Hapa ni kwamba kama wewe ndo mtoa wazo la Biashara ili kuendelea kulindawazo lako unatakiwa uwe na share nyingi ambazo zitakufanya uwe na sauti, meanshawa wengine wakiunganisha za kwao zote bado hazitafikia zao
Wao wanaweza kuunganisha za kwao na kumwachia mtu mmoja atakaye kuwa na49.6% atakuwa hajakufikia wewe ukiwa na 50.1%

ILA SASA IKIWA HIVI
WEWE- 40%
MWENZAKO- 10%
MWENZAKO- 10%
MWENZAKO- 20%
MWENZAKO- 20%

Hapaunaweza fikilia umewaweza kwa wewe kuwa na hisa nyingi sana na utakuwa na sautikatika kampuni, ILA HAWA WENGINE WAKIAMUA KUKUPINDUA NI DAKIKA TU,WAKIUNGANISHA SHARE ZAO WATAKUWA NA 60% HIVYO UNAKUWA HUNA SAY TENA KATIKAKMAPUNI
 
Mkuu KOMANDOO shukrani sana kwa maelezo yako mazuri ila ningependa kupata maelezo zaidi kuhusiana na hii extension ya biashara ya Inc. maana hao ndipo panaponikuna haswaa kwa sababu nina mpango wa kusajili biashara yangu kwa extension ya Inc. lakini uelewa nayo mzuri na ndio maana nimekuja hapa ili niweze kupata maelezo mazuri ili nijue nini cha kufanya.

Nimekuwa nikiona baadhi ya makampuni hapa bongo hasa yanayodili na mambo ya media and entertainment yakijisajili kwa hii extension kama Jamii Forums ambao wao wamejisajili kama Jamii Media Inc. Nomba maelezo kuhusiana na hili.

sorry kama maelezo yangu yatakuwa hayajaeleweka maana kwa sasa hal yangu sio nzuri ninaumwa sana kwa hiyo kichwa changu hakiko sawa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu bado narudia kusema neno Inc na Ltd zinategemeana kati ya Nchi na Nchi, kwa Tanzania sijui kama Brela wana sheria za kuregister kampuni kwa kutumia Inc,

Na hata hivyo Inc ni kifupi cha Incopoartion ambapo kwa Tanzania inaweza kuwa inatumika either kwa kuumanisha Ltd au vinginevyo

1. Ltd - Hii inamanisha Ltd libility na kwa nchi zingine Ltd inatumika kwa kusajili kampuni Ndogo ndogo huku Inc ikitumika kwa kusajili makampuni makubwa sana
Na vilevile kwa Nchi nyingi kampuni zinapo anza operation huanza na Ltd na baadae kubadili kuwa INC
Ltd vilevile inamaanisha kuna limited number of Owners, na hii inafanana na Limited Liability Company (LLC)

2.INC- hii inatumika kwa makampuni makubwa sana ambayo hayana Limited ya members na kwa Tanzania Auotomaticaly inamaanisha Public company, makampuni kama TBL si Ltd tena make wako kwenye soko la hisa la Dar SO any one can be a member kupitia kweny zile share

Na vilevile INC ARE NOT SEPARATE LIGAL INETNTY, na watu kama CEO na kazalika hawaulizwi chochochote kwa matatizo ya kampuni, leo hii mgano huwezi enda kununua hisa za TBL halafu TBL ipate hasara ukawalaumu wale mabosi wa TBL hakuna kitu kama hicho

Na mwisho mkuu Tambua kabisa sheria za kuendesha INC AU LTD zinatofautiana kati ya nchi na Nchi na hazifanani kamwe, kuna baadhi ya Nchi sheria zake haziruhusu kusajili kwa kutumia Inc na kuna baadhi ya Nchi zainataka utumia Inc badala ya Ltd so ndo hivyo

Na Inc kawaida haina restriction ya members amabapo sasa tukirudi kwa Bongo sijajua kama wanao zitumia wana restriction ya members au la

Inc vilevile ni kwa makampuni makubwa sana kama yalivyo Microsoft, TOYOTA na kazalika

INC vilevile inakuwa na Business owners wengi sana kupitia zile share wanazo uza kwenye masoko ya HISA huku LTD ikiwa na Limited numbers of owners

INC- mwisho kabisa narudia hapa Directors hawawezi ulizwa chochote kwa hasara ya kampuni ndo maana wanao nunua hisa kwenye MASOKO YA HISA DUNIANI hisa za kampuni zikishuka thamani hawawezi kwenda kudai FIDIA KWA WAMILIKI WA KAMPUNI na ingekuwa kuna kudai FIDIA nazani kampuni nyingi zi singekuwa tiyali kuuza HISA ZAO KWENYE MASOKO YA HISA
 
  • Asante sana mkuu KOMANDOO kwa maelezo yako mazuri. sasa nimepata picha nzuri ya kile nilichokuwa nahitaji. Ubarikiwe sana.​


 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom