combra
Senior Member
- May 28, 2012
- 130
- 31
nina tatizo la mba kichwani ambalo ni la mda mrefu.ni hivi nikiziacha nywele zangu kwa mda wa mwezi nywele zinakuwa na mba aina ya ungaunga na kuniwasha sana tena nikizichana bila kutia maji zinawasha sana.lakini nikizinyoa mba wote unakwisha.Nilijaribu kutumia dawa za kupaka na kumeza bila mafanikio. naombeni ushauri na kwa yeyote anaye jua tiba yake.unanipa sana aibu nikienda kunyoa saloon nakuutwa nina mba.msada plz kwa mwenye uelewa