firstcollina
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 349
- 21
Wana JF habari.
Jamani nipo katika harakati za kusaka Post grad au Masters katika fani za Procurement and logistics. Kwa taarifa fupi nilizonazo ni kwamba kipo chuo kimoja maeneo ya Chanika kilicho chini ya udhamini wa serekali ninachotoa mojawapo ya vitu hivyo nilivyotaja hapo up-stairs
Naombeni wenye ufahamu juu ya jambo hili mnisaidie, maana kwa sasa nipo mbali, nje ya na Dar es salaam na kwa ufahamu wangu mdogo nyakati hizi ndio vyuo vingi vinafanya registrations hasa katika mambo hayo ya Post and Masters, hivyo nina wasiwasi wa kuchelewa au kukosa nafasi.
Pia kama kuna chuo kingine chenye kutoa vitu hivyo pia naomba wadau msisite kuni taarifu juu ya usefull information.
:confused2:Thanks
Bless be to those who wishes the bests in the carrier development of this JF "The Home of Great Thinkers".
Jamani nipo katika harakati za kusaka Post grad au Masters katika fani za Procurement and logistics. Kwa taarifa fupi nilizonazo ni kwamba kipo chuo kimoja maeneo ya Chanika kilicho chini ya udhamini wa serekali ninachotoa mojawapo ya vitu hivyo nilivyotaja hapo up-stairs
Naombeni wenye ufahamu juu ya jambo hili mnisaidie, maana kwa sasa nipo mbali, nje ya na Dar es salaam na kwa ufahamu wangu mdogo nyakati hizi ndio vyuo vingi vinafanya registrations hasa katika mambo hayo ya Post and Masters, hivyo nina wasiwasi wa kuchelewa au kukosa nafasi.
Pia kama kuna chuo kingine chenye kutoa vitu hivyo pia naomba wadau msisite kuni taarifu juu ya usefull information.
:confused2:Thanks
Bless be to those who wishes the bests in the carrier development of this JF "The Home of Great Thinkers".