Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Elodiii hebu msome babu hapa chini nadhani ameshalijibu hiloAsante babu yangu,
Lakini sasa babu, mbona akili yangu inakataa kuamini kwamba wanaume wote lazima watoke nje ya ndo?
Kwani wanaume hawafuati sheria na amri za Mungu?
Huu ni msimamo wa babu na hauusiani na imani ya dini yoyote ya dini wala mashirika ya kutetea jinsia za watu!