Karibuni masijala
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 409
- 135
Msaada wa mawazo, maelekezo, maoni na ushauri nitauzingatia, kwanisijawahi kupanda treni; tangu niletwe kwa msaada wa mola hapa Tanzania; Nina umri wa miaka 28 Tanzania tangu uhuru 51. Vyombo vya habari TV nimeona treni za Mwakyembe.
Mkuu wa mkoa naye kapanda.Kesho liwalo na liwe zamu yetu kasema, taadhari maeneo ya watu waweke alama zisiue nikajiogopea. Ndipo nilipowakumbuka Wanajamvi wenzangu wa JF kwani anzia kesho naenda tabata nikitokea msasani mandaz road kulivizia likipita narukia kama gari la gongo la mboto. Nimejiwekea malengo kabla sijafa napanda na ndege mwaka huu naanza na treni.
MASWALI:» Kwani kuuliza si ujinga ni uelewa hivyo jibu kwa uhuru
1. Je na wewe ulishawahi kupanda treni? Mwenzangu ulijisiaje kwani inakimbia sana kama ndiyo nikae mbele karibu na derava au katikati ili nisirushwerushwe sana kiuno ikiwa inarukaruka reli screpa
2.Wamachinga watakuwa kando ikisimama kwenye mataa ninunue maji hata ya kandoro kiu
3.Hotel itakayosimama tule inaitwaje?
4.Treni ZoteLuxuary au?
Mkuu wa mkoa naye kapanda.Kesho liwalo na liwe zamu yetu kasema, taadhari maeneo ya watu waweke alama zisiue nikajiogopea. Ndipo nilipowakumbuka Wanajamvi wenzangu wa JF kwani anzia kesho naenda tabata nikitokea msasani mandaz road kulivizia likipita narukia kama gari la gongo la mboto. Nimejiwekea malengo kabla sijafa napanda na ndege mwaka huu naanza na treni.
MASWALI:» Kwani kuuliza si ujinga ni uelewa hivyo jibu kwa uhuru
1. Je na wewe ulishawahi kupanda treni? Mwenzangu ulijisiaje kwani inakimbia sana kama ndiyo nikae mbele karibu na derava au katikati ili nisirushwerushwe sana kiuno ikiwa inarukaruka reli screpa
2.Wamachinga watakuwa kando ikisimama kwenye mataa ninunue maji hata ya kandoro kiu
3.Hotel itakayosimama tule inaitwaje?
4.Treni ZoteLuxuary au?