.wee unaonaGAje?
.
Kongosho AnaonaGAje? ... naniJE?!
Anyway, Blue G hicho hapo juu ni kiswahili cha mtaani kinachoitwa "kiJEjeJE"
Mfano utamsikia mtu anasema ...
NimekumisiJE?
NampendaJE?
NimenunaJE?
WatajibebaJE!
NimechokaJE!
Wajuzi wengine huenda mbali mpaka hata majina ya watu wanayaweka katika kiJejeJE
Mfano:
KongoshoJE!
NaniJE
Au
WapiJE!
HelaJE!
:eyebrows:
.....................
je hiki ni kiswahili sanifu??????unaenda kumuulizia fulani halafu unamkosa. unamwambia mwingine ''nimemkuta hayupo''.naendaga, namwonaga, simpendagi.sufuria au sifuria????tiyari au tayari????