Asante sana mkuu,nayaamini maelezo yako na hujui tu ni kiasi gani umenisaidia.
Nimeelewa kwamba,mtoto atakufa sbb yakukosa hewa yake binafsi kwa sbb ya kutokatwa kitovu jambo ambalo pia litamuua mama yake na ndugu yake aliyeko tumboni.
Mkuu naomba unisaidie kufahamu kwamba,iwapo huyu mama angefanikiwa kukata kitovu cha mtoto ndipo apoteze fahamu,JE KUNA MAZINGIRA YEYOTE AMBAYO YANGEWEZA KUSAIDIA MAMA NA MTOTO ALIYEKO TUMBONI ASIFE?.
Strange but.......
Jibu la kwanza ni hli; Kama sperms za huyo mwanamume aliye jamiiana nae ni healthy basi kuna likelyhood zitakuwa introdused kwenye vaginal canal ya huyo ovulating lesbian pertner. Na sio hivo tu hata HIV, gonorrhea, trichomana, candida na host of other pathogens pia wanaweza kuwa transfered. Advise: stop doing this. It is very cruel of you.
Jibu la pili ambalo lina multi answers. Akishazaa mtoto wa kwanza na mwanamume akizimia mtoto huyo atasurvive hata kama hata wahi kukatwa kitovu toka kwenye placenta. Na mtoto wa pili ataweza kuzaliwa salama for upto 15 minutes as long as uterine contraction zitakapoendelea na kuzaliwa. In this cenario watoto wote wawili watahitaji observation hospitalini na coverage ya antibiotica na ATS. Again a very strange situation lakini wakati niko internship Bugando nilikutana na cases kama hizo.
Strange but.......
Jibu la kwanza ni hli; Kama sperms za huyo mwanamume aliye jamiiana nae ni healthy basi kuna likelyhood zitakuwa introdused kwenye vaginal canal ya huyo ovulating lesbian pertner. Na sio hivo tu hata HIV, gonorrhea, trichomana, candida na host of other pathogens pia wanaweza kuwa transfered. Advise: stop doing this. It is very cruel of you.
Jibu la pili ambalo lina multi answers. Akishazaa mtoto wa kwanza na mwanamume akizimia mtoto huyo atasurvive hata kama hata wahi kukatwa kitovu toka kwenye placenta. Na mtoto wa pili ataweza kuzaliwa salama for upto 15 minutes as long as uterine contraction zitakapoendelea na kuzaliwa. In this cenario watoto wote wawili watahitaji observation hospitalini na coverage ya antibiotica na ATS. Again a very strange situation lakini wakati niko internship Bugando nilikutana na cases kama hizo.