Naombeni msaada wa utaalamu wa mambo ya kibaiolojia

Duuuh haya mi ngoja niminye nifaidi shule tu hasa ukizingatia biology niliskip!!
 
Asante sana mkuu,nayaamini maelezo yako na hujui tu ni kiasi gani umenisaidia.
Nimeelewa kwamba,mtoto atakufa sbb yakukosa hewa yake binafsi kwa sbb ya kutokatwa kitovu jambo ambalo pia litamuua mama yake na ndugu yake aliyeko tumboni.

Mkuu naomba unisaidie kufahamu kwamba,iwapo huyu mama angefanikiwa kukata kitovu cha mtoto ndipo apoteze fahamu,JE KUNA MAZINGIRA YEYOTE AMBAYO YANGEWEZA KUSAIDIA MAMA NA MTOTO ALIYEKO TUMBONI ASIFE?.



huko porini hakuna vifaa....yeye kama yeye asiengeweza kukikata....kakata kitovu kunahitahi utaalamu....hakukuwa na mkunga, nesi, wala daktari......lakin kama angefanikiwa kweli....hapo sasa inategemeana na uwezzo, nguvu alizonazo, mahali kilipo kitoto hicho cha kwanza kutoka.....kupoteza fahamu kisha kuzinduka kunategemeana na sababu ya kile kilichopeleka huyu mtu kupoteza fahamu........lakini pia yule mtoto aliyebaki tumboni tuko katika hali gani...anaweza kuzaa wote lakini wakati anatoa kondo la nyuma naweza kutoa damu nyingi na kupoteza maisha.....[/QUOTE]

asante sana mkuu,maelezo yako ni msaada mkubwa kwangu,sina jinsi ya kukushukuru zaidi ya kusema asante sana mungu akubariki.
 
Strange but.......
Jibu la kwanza ni hli; Kama sperms za huyo mwanamume aliye jamiiana nae ni healthy basi kuna likelyhood zitakuwa introdused kwenye vaginal canal ya huyo ovulating lesbian pertner. Na sio hivo tu hata HIV, gonorrhea, trichomana, candida na host of other pathogens pia wanaweza kuwa transfered. Advise: stop doing this. It is very cruel of you.

Jibu la pili ambalo lina multi answers. Akishazaa mtoto wa kwanza na mwanamume akizimia mtoto huyo atasurvive hata kama hata wahi kukatwa kitovu toka kwenye placenta. Na mtoto wa pili ataweza kuzaliwa salama for upto 15 minutes as long as uterine contraction zitakapoendelea na kuzaliwa. In this cenario watoto wote wawili watahitaji observation hospitalini na coverage ya antibiotica na ATS. Again a very strange situation lakini wakati niko internship Bugando nilikutana na cases kama hizo.

mkuu doctorz nianze kwa kukushukuru.
hapo pekundu naona unapingana na maelezo aliyotoa mwanzo mkuu Edson ambaye amefafanua kwa vizuri na kwa kina kuwa mtoto hata survive sbb asipokatwa kitovu hataweza kupumua.
Mkuu nitashukuru sana kama utafafanua ni vipi ulichokielezea kitawezekana,Naomba usome kwanza maelezo ya mkuu Edson then ndio ufafanue naona wataalam wangu mnatofautiana kidogo which is good sababu naamini itatoa chance ya kujifunza zaidi.Nyote mnaweza kuwa sawa labda ila maelezo ya zaidi kutoka kwako yatasaidia.
 
Strange but.......
Jibu la kwanza ni hli; Kama sperms za huyo mwanamume aliye jamiiana nae ni healthy basi kuna likelyhood zitakuwa introdused kwenye vaginal canal ya huyo ovulating lesbian pertner. Na sio hivo tu hata HIV, gonorrhea, trichomana, candida na host of other pathogens pia wanaweza kuwa transfered. Advise: stop doing this. It is very cruel of you.

Jibu la pili ambalo lina multi answers. Akishazaa mtoto wa kwanza na mwanamume akizimia mtoto huyo atasurvive hata kama hata wahi kukatwa kitovu toka kwenye placenta. Na mtoto wa pili ataweza kuzaliwa salama for upto 15 minutes as long as uterine contraction zitakapoendelea na kuzaliwa. In this cenario watoto wote wawili watahitaji observation hospitalini na coverage ya antibiotica na ATS. Again a very strange situation lakini wakati niko internship Bugando nilikutana na cases kama hizo.

mkuu doctorz hapo pa blue ulichosema ni kweli ila natumai huniambii mim.
mm sio bisexual wala lesbian im very straight.
I love men,and never will i be atracted to a fellow woman.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom