Zeddicus
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 627
- 534
Great thinkers naombeni ushauri wenu kuhusiana na hili,tangu nikiwa o level nilipanga nitakuja kusomea maswala ya land(bachelor of sciense in land management and valuation pale chuo kikuu Ardhi) ndoto zangu niliona zikianza kutimia pale nilipochaguliwa kujiunga kidato cha tano mchepuo wa EGM nilijitahidi sana kusoma kwa bidii mitihani ya kishule pamoja na mock nilikuwa nikifaulu vizuri,sasa katika matokeo ya mwisho yaani NECTA mambo yamekuja tofauti kabisa na nilivyokuwa nikifikiria nimepata division 3 ya 13 yaani ECO-D GEO-D A/MATHS-E..je kwa pass mark hizi still naweza kwenda kusoma hiyo program? Natanguliza shukrani zangu kwenu.