sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Wapendwa wana JF nawasalimu wote, natumai mu wazima.
Kuna jambo lanitatiza nahitaji msaada wa mawazo, yawezekana kabisa muamuzi wa mwisho ni mimi mwenyewe ila nikipata mawazo tofauti itasaidia pia.
Nina mchumba wangu ambae tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni. Wiki iJuzi Jumanne niliibiwa simu so yeye akanipa simu yake nitumie.
Hamadi kwenye simu nikakuta texts kwenye inbox ambayo kutokana na flow ya zile texts alikuwa akichat na mwanamke, na ikaonyesha kabisa yule mwanamke waliwahi kuwa na mahusiano na kudo pia, ha hiyo imetokea akiwa na mimi, mana yule dada aliandika kabisa kuwa "bahati ulikuwa nayo wewe tu ya kukupa ....), na nyingine lukuki za kuonyesha mdada ana wivu kuwa amesikia jamaa ana mtu mwingine yani apart from me, na huyo dada anaonyesha kunifahamu mana kuna msg baada ya jamaa kumwambia kuwa hao anaowasema si watu zake hata mchumba wangu (yani mimi) anawajua, mdada akahamaki na kutaja jina langu..
Nilijaribu kuongea na huyo mume mtarajiwa lakini alikana katukatu hajawahi kuwa na uhusiano na mtu huyo ni jokes tu, kama nataka nijaribu kuchukua simu yake nione jinsi gani wanawake wanamchatisha mambo makubwa kuliko hayo. mimi sikubuy story yake kwa kweli hapa kichwa kinaniuma kwa mawazo. Na cha kushangaza yeye kutwa akiongea na simu ni kuita wanawake baby sasa hata akiniita mimi sioni kama kuna uniquness yoyote.
Naombeni msaada wa mawazo tafadhali, nina mawili nimuache au nibaki, na mahali keshatoa. nikimuacha je nitakayempata atakuwa na afadhali au atakuwa worse.nina maswali mwngi kichwani kuliko majibu.
Natanguliza shukrani.
Sweetdada
Kuna jambo lanitatiza nahitaji msaada wa mawazo, yawezekana kabisa muamuzi wa mwisho ni mimi mwenyewe ila nikipata mawazo tofauti itasaidia pia.
Nina mchumba wangu ambae tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni. Wiki iJuzi Jumanne niliibiwa simu so yeye akanipa simu yake nitumie.
Hamadi kwenye simu nikakuta texts kwenye inbox ambayo kutokana na flow ya zile texts alikuwa akichat na mwanamke, na ikaonyesha kabisa yule mwanamke waliwahi kuwa na mahusiano na kudo pia, ha hiyo imetokea akiwa na mimi, mana yule dada aliandika kabisa kuwa "bahati ulikuwa nayo wewe tu ya kukupa ....), na nyingine lukuki za kuonyesha mdada ana wivu kuwa amesikia jamaa ana mtu mwingine yani apart from me, na huyo dada anaonyesha kunifahamu mana kuna msg baada ya jamaa kumwambia kuwa hao anaowasema si watu zake hata mchumba wangu (yani mimi) anawajua, mdada akahamaki na kutaja jina langu..
Nilijaribu kuongea na huyo mume mtarajiwa lakini alikana katukatu hajawahi kuwa na uhusiano na mtu huyo ni jokes tu, kama nataka nijaribu kuchukua simu yake nione jinsi gani wanawake wanamchatisha mambo makubwa kuliko hayo. mimi sikubuy story yake kwa kweli hapa kichwa kinaniuma kwa mawazo. Na cha kushangaza yeye kutwa akiongea na simu ni kuita wanawake baby sasa hata akiniita mimi sioni kama kuna uniquness yoyote.
Naombeni msaada wa mawazo tafadhali, nina mawili nimuache au nibaki, na mahali keshatoa. nikimuacha je nitakayempata atakuwa na afadhali au atakuwa worse.nina maswali mwngi kichwani kuliko majibu.
Natanguliza shukrani.
Sweetdada