Naombeni msaada tafadhali

Hakikwanza

JF-Expert Member
Dec 11, 2010
4,034
1,003
Jamani natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Jamani nina mtoto wa miezi mitatu ila toka azaliwe kuna mucas nyeupe ina mtoka machoni tumetumia tiba kwa ushauri wa madaktari tulio waona lakini tatizo bado. Tunaomba msaada kwa anayejua tiba. Asanteni
 
Pole sana mkuu,ngoja wataalam waje najua uko ktk wakati mgumu.Ila ufumbuzi utapatikana.
 
Jamani natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Jamani nina mtoto wa miezi mitatu ila toka azaliwe kuna mucas nyeupe ina mtoka machoni tumetumia tiba kwa ushauri wa madaktari tulio waona lakini tatizo bado. Tunaomba msaada kwa anayejua tiba. Asanteni

We upo maeneo gani?umejaricu kwenda ccbrt?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom