Bosco Ntaganda
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 710
- 288
Wakuu, mimi ni mwalimu wa leseni tangu mwaka 2006, sasa nimehitimu Higher Diploma ya IT hivi karibuni. Nimerudi kuendelea kufundisha kwenye shule niliyo kuwa nimepangiwa kufundisha. Sasa kwa kuwa sikusomea taaluma ya ualimu, na nipo kwenye payroll tangu mwaka huo wa 2006, huku nikiendelea kupandishwa madaraja kama kawaida.
Naombeni mnipatie taratibu za kufanya ili niweze kuhamia kwenye kazi ya taaluma yangu (IT) hapa halimashauri ya jiji ninapofanyia kazi.
Naombeni mnipatie taratibu za kufanya ili niweze kuhamia kwenye kazi ya taaluma yangu (IT) hapa halimashauri ya jiji ninapofanyia kazi.