Ndugu zangu naombeni kujua mshahara ambao serikali imeweka namaanisha net salary ambao fresh graduates wanapaswa kulipwa pindi wanapoajiliwa ni shilingi ngapi?
Mungu awabariki! bampami!!
Mishahara ya watumishi wa serikali -fresh inatofautiana kulingana na fani uliyosomea, mfano mhasibu anaanza na TGS D, wanasheria wanaanza na TGS E, hali kadhalika kwa madaktari na wengineo
Mishahara ya watumishi wa serikali -fresh inatofautiana kulingana na fani uliyosomea, mfano mhasibu anaanza na TGS D, wanasheria wanaanza na TGS E, hali kadhalika kwa madaktari na wengineo
ahsante mkuu, namini hujanisaidia peke yangu tupo wengi hatujui hilo.
Naomba m/unisaidie tena yani hata hizo TG E/D sizijui:
labda mfano TGS E zinaanzia Shlng ngapi mpaka ngapi.
Na mimi nimesoma masomo ya biashara ktk level ya chuo kikuu.
Naomba usichoke kunielewesha nimegundua kitu hiki kujua ni mhimu sana.
Ahsante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.