salito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,408
- 716
- Thread starter
- #21
Yote inategemea na msimamo wenu wakati wa maisha yenu ya ndoa. Mwanzo mwanzo mnaweza msiwe na tatizo nyinyi wawili tu lakini matatizo yakaanza wakati mkipata watoto, kila mmoja kutaka kushinikiza watoto wafuate dini yake. Mkisema muwape watoto uhuru wa kuamua wenyewe mtakuwa hamwatendei haki katika malezi ya udogoni kwa kukosa mafunzo ya kiimani. Huwezi kumpeleka mtoto kanisani, msikitini, hekaluni...kwa wakati mmoja. Ili kuepusha hayo, ni bora mkajadiliana na kukubaliana kabla ya ndoa nini mtafanya katika malezi ya watoto wenu.
nimependa sn ushauri wako!maan ni kama umesoma mawazo yetu!asante