uliposifiki 99
Member
- Nov 14, 2011
- 36
- 1
Nina gf ila shida ni kwamba mara nyingi huwa nikipanga appointment nae huwa analeta excuse, na pia mara nyingine nikimuandikia sms au kumpigia cm huwa anaweza asipokee cm au asijibu sms,sasa hiyo hali imedumu kwa kipindi kama cha miez 3 nikiamua kumpotezea anakaa muda na ananipigia cm na kueleza sababu nyingi ila mim kinachoniumiza ni kwamba nampenda na huwa vitu vingi sana hata siri zake huwa anakuwa muwaz kuniambia,cha kushangaza mtu akimtongoza anakuja kunieleza sasa nashindwa kuelewa je ananipenda kwel au ananizingua!