ney kush
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,368
- 844
Naomba kuuliza KUNA CCTM AMBAYO MTU ANAWEZA KUPATA MSG ZA MTU FLANI ANAZOTUMIWA..... mfano mimi naweza nikasoma msg zote zinazoingia kwenye cm yako unazotumiwa na mtu yeyote kupitia cm yangu bila we kujua...... Swali ni je hii inawezekana? maana nimeshuhudia watu wawili wanalalamika...... Na kama inawezekana tupeane maujuzi