Babu mchumi
Member
- Jul 5, 2011
- 62
- 11
Habari zenu the great thinkers!
Naombeni nijulishwe kuhusu huu mfumo wa digitali unaokuja na tv zetu!
Nimesikia hizi tv zenye kichogo ndo zitakua zimefikia mwisho wake labda mpaka utumie king'amuzi
sasa vp kuhusu hizi flat screen,je na zenyewe itakua mpaka king'amuzi au zitakamata moja kwa moja?
nawasilisha
Naombeni nijulishwe kuhusu huu mfumo wa digitali unaokuja na tv zetu!
Nimesikia hizi tv zenye kichogo ndo zitakua zimefikia mwisho wake labda mpaka utumie king'amuzi
sasa vp kuhusu hizi flat screen,je na zenyewe itakua mpaka king'amuzi au zitakamata moja kwa moja?
nawasilisha