The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Too bad gfsowin anauguza na Zinduna kaishia wapi sijui namkabidhi hii kazi Madame B naomba unifundie mume kaniudhi kwenye ule uzi wa lofa mmoja anajiita somebody utumbo
Too bad gfsowin anauguza na Zinduna kaishia wapi sijui namkabidhi hii kazi Madame B naomba unifundie mume kaniudhi kwenye ule uzi wa lofa mmoja anajiita somebody utumbo
We we we we we The secretary umegusa penyewe.
Mwanamume mshakunaku huyu jamani,
Loooh!
Anajidai kumfuata yule matumbo na utumbo wake.
We Bishanga haya ndio nini ulichokifanya kule Kwa yule Lidudu matumbo?
Na tutakusuta wana Jf wote mwaka huu....
yani mie kanimaliza raha
naandaa kibwebwe mwaname mbaya huyu yaani familia yangu yote kasema tunatoka fyatanga baa
Pole sana. Nimeamua kujigongea Ndovu nisije kuharibu kuharibu siku. Karibu!
ngoja nijamtoe kwenye biashara yake huko tandale
Asutwe!asutwe!
kukataa kukupa hela ya kwendea guanzhou ndo yamekuwa haya?Too bad gfsowin anauguza na Zinduna kaishia wapi sijui namkabidhi hii kazi Madame B naomba unifundie mume kaniudhi kwenye ule uzi wa lofa mmoja anajiita somebody utumbo
utasutwa!Mtafuteni Zinduna ndo kiboko yake,hadi Bishanga atasema shkamoo! Huyu jamaa ana wakati mgumu sana mwaka huu,FINCA wanamtafuta,yule mnyarwanda alokula nae pesa kamkimbia sasa hivi anahaha na ameamua achafulie watu majina ili nao waonekane ni choka mbaya kama yeye,kwa hali inavyomwendea kombo amebakiza kujifunza uchawi tu
unachinga sana wewe,ukiendelea nitamwambia ruttashobolwa akuache,una lomo sana we mrembo.We we we we we The secretary umegusa penyewe.
Mwanamume mshakunaku huyu jamani,
Loooh!
Anajidai kumfuata yule matumbo na utumbo wake.
We Bishanga haya ndio nini ulichokifanya kule Kwa yule Lidudu matumbo?
Na tutakusuta wana Jf wote mwaka huu....
unachinga sana wewe,ukiendelea nitamwambia ruttashobolwa akuache,una lomo sana we mrembo.