Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
dah, kweli kugawana ni kujali ,
na hili ndo nahisi kabisa linaweza tokea.....lol...
Bacha huyo kaka B akikagua mbuchuchu alafu akaona hailipi labda ni four hand used lazima atamwambia kaka A.
Hapo hapo kaka A nae akisha ambiwa alafu kaka B amtose huyo binti basi ni chance ya kaka A nae kukagua je kweli hamna kitu?
Matokeo yake wote watakuwa wamezunguka na kumwacha binti wa watu akiuza sura mjini tu bila malengo yoyote.