Wazazi waligombana ,mama akadai talaka yake at the time wamegombana baba alichukua uamuzi wa kuhama nyumbani na kwenda kuishi kwingine.
Sisi (4 child)tulibaki na mama nyumbani,mama alienda mahakamani kufungua kesi akidai apewe sehemu ya mali (maana kugawana nyumba na eneo )kesi ikiendelea mimi na dada yangu mungu akasidia tukapata kazi kwa hivyo tukachukua jukumu la kujenge sehemu nyingine(kwanza tuliona ile nyumba ni ya zamani na kunamgogoro) ambapo kile kiwanja alikuwa amekinunua mama long time ago at the same time tukiwa sapport wadogo zetu wawili masomo na malezi kwani mama aliacha biashara na baba alikuwa haleti mahitaji home (lastborn kwa sasa yupo form 2)
Siku zina kwenda nyumba tunayojenga ipo kwenye finishing na wakati huo huo mama naye anakazana na kesi yake mahakamni .Hukumu imetoka kuwa lile eneo ambalo wazazi walijenga pamoja na nyumba linauzwa .
Ninamawazo sana kwa kweli naombe ushauri wenu nifanye nini maana je mahakama haikuangalia watoto?na je kwa sasa watoto kwao ni wapi? Kweli uwezekano wa kuishi na kuwatunza wadogo zetu tunao ila where is our home?
Je mama yupo sahihi at the time sisi tumesha muamdalia makoa mapya na waogo zetu tuna wajali kwa nguo mpaka ada? Kwa nini ameshinikiza hilo ?
Inaniuma mno siwezi kufanya kazi vizurikwa siku ya leo naombeni japo mawazo how can I handle this situation ??
Sisi (4 child)tulibaki na mama nyumbani,mama alienda mahakamani kufungua kesi akidai apewe sehemu ya mali (maana kugawana nyumba na eneo )kesi ikiendelea mimi na dada yangu mungu akasidia tukapata kazi kwa hivyo tukachukua jukumu la kujenge sehemu nyingine(kwanza tuliona ile nyumba ni ya zamani na kunamgogoro) ambapo kile kiwanja alikuwa amekinunua mama long time ago at the same time tukiwa sapport wadogo zetu wawili masomo na malezi kwani mama aliacha biashara na baba alikuwa haleti mahitaji home (lastborn kwa sasa yupo form 2)
Siku zina kwenda nyumba tunayojenga ipo kwenye finishing na wakati huo huo mama naye anakazana na kesi yake mahakamni .Hukumu imetoka kuwa lile eneo ambalo wazazi walijenga pamoja na nyumba linauzwa .
Ninamawazo sana kwa kweli naombe ushauri wenu nifanye nini maana je mahakama haikuangalia watoto?na je kwa sasa watoto kwao ni wapi? Kweli uwezekano wa kuishi na kuwatunza wadogo zetu tunao ila where is our home?
Je mama yupo sahihi at the time sisi tumesha muamdalia makoa mapya na waogo zetu tuna wajali kwa nguo mpaka ada? Kwa nini ameshinikiza hilo ?
Inaniuma mno siwezi kufanya kazi vizurikwa siku ya leo naombeni japo mawazo how can I handle this situation ??