Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
yani we acha tu mara bby nataka kukwambiakitu,haya nambie anaishia kusema ujue nakupenda sana
Kama unaisikiaga 'killing me softly'...ndio hii!!
kipindi cha kwanza kilikuwa leo alfajir,tatizo sikukuona kwa hiyo ushamiss kitu hapo!ntakuwa na kipindi kingine by saa 4 hivi usiku actually maandalizi au lesson plan nitaianza toka saa kumi na moja jioni darsa litakuwa jikoni!kwa hiyo hakikisha hukosi.na ukiwa absentee nitagundua tu!
Hahahah hommie bana...... haya hebu nipe basi wasifu wa kijinsia wa snowhite ili nione kama kuna umuhimu wa kufanya tuition ya praktikoz.....awkey mwalim...so, saa kumi na moja tunapiga jalamba....saa nne maandalizi! Asubuhi nilikuwa kipindi cha sweetlo gfsonwin, ndo maana nikashindwa ila kwa muda huo nitakuwepo snowhite.....woooooooooooooord! Ila kwenye darasa lako usimkaribishe Asprin yeye bado hajafikia kufanya practicals, anaonekana mkubwa kwa vile alichelewa kuana shule shauri ya kuchunga
As always..... I love you...... Will you marry me?Nitamuelewa ni mtu smart sana; kwani hapotezi nguvu kuuliza the obvious.
usijali nitampa jaribio mooja tu,atatakiwa kushika sikio la upande wa kushoto kwa mkono wa kulia!kama hajakidhi vigezo hataingia darasani!awkey mwalim...so, saa kumi na moja tunapiga jalamba....saa nne maandalizi! Asubuhi nilikuwa kipindi cha sweetlo gfsonwin, ndo maana nikashindwa ila kwa muda huo nitakuwepo snowhite.....woooooooooooooord! Ila kwenye darasa lako usimkaribishe Asprin yeye bado hajafikia kufanya practicals, anaonekana mkubwa kwa vile alichelewa kuana shule shauri ya kuchunga
im honored mkuu!haya asprin ila nimeambiwa kwenye darsa langu hutakiwi kuwepo sa sijui kweli?ila usijali mwalimu nna mbinu nyingi za kutambua mwanafunzi nimweke kwenye kundi gani cognitive au hypothesis