Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
WanaJF habari za jioni,
Ni mategemeo yangu nyote mpo salama, kuna swali napenda kuwaulizeni ili nipate kujua hivi kuna nchi yoyote duniani ambayo imewahi kulipuka kwa maghala yake ya silaha kwenye kambi za kijeshi na kuleta madhara?
Ni mategemeo yangu nyote mpo salama, kuna swali napenda kuwaulizeni ili nipate kujua hivi kuna nchi yoyote duniani ambayo imewahi kulipuka kwa maghala yake ya silaha kwenye kambi za kijeshi na kuleta madhara?