ziana
Member
- Nov 23, 2016
- 45
- 32
Habarini za mchana ndugu nahisi mu wazima wa afya
wapendwa naombeni mnijuze siku ya hatari ya kushika ujauzito.
Nimeanza kupata period kwa mwezi huu wa 12 (tarehe2-6) ndo namaliza naombeni mnifahamishe siku zangu za hatari za kushika ujauzito zitakuwa ni tarehe ngapi.
Nawasilisha
wapendwa naombeni mnijuze siku ya hatari ya kushika ujauzito.
Nimeanza kupata period kwa mwezi huu wa 12 (tarehe2-6) ndo namaliza naombeni mnifahamishe siku zangu za hatari za kushika ujauzito zitakuwa ni tarehe ngapi.
Nawasilisha