Naapa mbele yako kwamba Mkuu wa kaya maslahi yako Wilayani/Mkoani yatalindwa kwa nguvu zote na kasi zaidi .Nitawanyanyasa wanao kupinga hata kama wakiwa na hoja safi za kuijenfa Nchi hii .CCM mbele sana na tena zaidi muda wowote na vyama vingine havutakiwi .Mungu isaidie CCM nasi viongozi tuongee afya njema tule kwa madaha .
Kama kweli ndicho kiapo cha hawa DC/RC ama kweli tupo kwenye mfumo wa Chama kimoja na ndicho huyo DC wa Igunga kweli aliapa hivyo kwani hicho kiapo ulichonipa ni sawa kabisa na matendo ya DC wa Igunga anayoyafanya
Hivi hakuna mashine ya kupima content ya ubongo wa baadhi ya wachangiaji humu? Huyu jamaa nadhani ana salio dogo sana la ubongo.
Tuondoleeni sredi z a kumdhalilisha mh rais
Kwa kweli wanaboa sana wachangiaji wa namna hiiHivi hakuna mashine ya kupima content ya ubongo wa baadhi ya wachangiaji humu? Huyu jamaa nadhani ana salio dogo sana la ubongo.
Wana JF,
Naombeni mtupe kiapo cha DC/RC anacho toa pale Viwanja vya IKULU na baadae anaenda kutumikia wananchi
Kwa mtu yeyeyote ambe anajua atumwagie hapa tafadhalini