Naombeni Hifadhi hapa Jamvini

Hello wana JF
Nimechoka kukaa Bohari Kuu Ya Madawa pale keko, naomba mnikaribishe kama mlivyowakaribisha Tablets wenzangu ili na mimi niwe mwana JF, naahidi tutashirikiana bega kwa bega katika majukwaa ya MMU, SIASA, HOJA na mengineyo...
Mkuu Katavi naomba unionyeshe pa kujistiri.

Karibu sana rafiki.
 
Back
Top Bottom