Naombeni CV ya Kapteni Komba, wa TOT

nyie mnaomsema mbunge wetu wa mbinga ndio mna matatizo makubwa kuliko yeye!!hivi nani katika nchi hii asiyejua mchango wa Komba katika kuhamasisha jamii kwa kutumia sanaa? hizo masters zenu si ndo zimetufikisha hapa!!Au hamjui hapa tulipo kiuchumi,kijamii na kisayansi ni majumuisho ya uwezo wetu wote Watanzania katika kukabiliana na changamoto zetu??tunatumia page nyingi kumsema mtu mmoja huku sisi wenyewe michango yetu katika jamii ikiwa haijulikani kabisa!!!c'on guys is an insult to democracy itself...
Naona umeamua kumpigia Kampeni Mbunge wako na pia itakuwa vizuri sana kama yeye mwenyewe akija hapa na kuongea au kujitetea mwenyewe na sio wewe okay
 
Mnashangaa nini? watu wa kabila la Komba, ngoma uwafanya clazy.
Unaweza ondoka na mke wa mtu kama utacheza ngoma vizuri.
Komba alijua hilo na kwa mwaka kesho msione ajabu kuona anapeta bila kupingwa. Sababu? anajua kukata mauno!
 
Mnashangaa nini? watu wa kabila la Komba, ngoma uwafanya clazy.
Unaweza ondoka na mke wa mtu kama utacheza ngoma vizuri.
Komba alijua hilo na kwa mwaka kesho msione ajabu kuona anapeta bila kupingwa. Sababu? anajua kukata mauno!

Mkuu samahani, sijaelewa hapo kwenye blue
 
diploma ya ualimu tu,na si zaidi-lakini kwa bongo ni elimu tosha hiyo,si unaona sasa ni mbunge,kakosa kidogo tu u waziri.
 
nyie mnaomsema mbunge wetu wa mbinga ndio mna matatizo makubwa kuliko yeye!!hivi nani katika nchi hii asiyejua mchango wa Komba katika kuhamasisha jamii kwa kutumia sanaa? hizo masters zenu si ndo zimetufikisha hapa!!Au hamjui hapa tulipo kiuchumi,kijamii na kisayansi ni majumuisho ya uwezo wetu wote Watanzania katika kukabiliana na changamoto zetu??tunatumia page nyingi kumsema mtu mmoja huku sisi wenyewe michango yetu katika jamii ikiwa haijulikani kabisa!!!c'on guys is an insult to democracy itself...
you have the point Sir
Mbona hawa wenye elimu za uprof, uDR, CPA na MA ndio wamefikisha nchi hapa kwenye dimbwi la ufisadi wa kutupwa. Kwani haya yaliyofanywa na mafisadi kwenye kusaini mikataba ya kis..ge na isyokuwa na tija kwa Watanzania si hao tunaowaona na kuwaita wasomi.
 
Hehehehehe...kati ya Komba na baadhi ya watu wenye PhD sioni tofauti yao...Lol

Kwikwikwi. Jamaa hawataki kuangalia posti yako. Wanajua pamoja na shule zao bado wanaboronga kama illiterates.
 
..Tanzania hatuthamini watu wa sanaa na wanamichezo.

..John Komba ana kipaji cha kuimba na amekitumia kufanikiwa kimaisha.

..tatizo ni mfumo wa maisha wa kifisadi na ujanja-ujanja uliopo Tanzania.

..John Komba angekuwa kwenye nchi za wenzetu angekuwa na maisha yake mazuri tu yaliyotokana na kipato halali.

..inawezekana wengine hapa wangefurahi kama John Komba angeishi maisha ya taabu na dhiki kama marehemu Mzee Mourice Nyunyusa.


NB:

..tuzingatie zaidi mchango wa mhusika ktk jamii yetu.

..kama mtu ni msomi basi tumhoji amechangia nini kwa jamii yake na taaluma yake.

..kwa wanamichezo/wasanii etc tuhoji mchango wao kwa jamii ktk michezo/sanaa etc.

..hii tabia ya kuulizana vyeti vyeti vyeti kila mara, tena hata mahali pasipohusika, sidhani kama inajenga, na ndiyo chanzo cha viongozi kutafuta vyeti feki.
 
..Tanzania hatuthamini watu wa sanaa na wanamichezo.

..John Komba ana kipaji cha kuimba na amekitumia kufanikiwa kimaisha.

..tatizo ni mfumo wa maisha wa kifisadi na ujanja-ujanja uliopo Tanzania.

..John Komba angekuwa kwenye nchi za wenzetu angekuwa na maisha yake mazuri tu yaliyotokana na kipato halali.

..inawezekana wengine hapa wangefurahi kama John Komba angeishi maisha ya taabu na dhiki kama marehemu Mzee Mourice Nyunyusa.


NB:

..tuzingatie zaidi mchango wa mhusika ktk jamii yetu.

..kama mtu ni msomi basi tumhoji amechangia nini kwa jamii yake na taaluma yake.

..kwa wanamichezo/wasanii etc tuhoji mchango wao kwa jamii ktk michezo/sanaa etc.

..hii tabia ya kuulizana vyeti vyeti vyeti kila mara, tena hata mahali pasipohusika, sidhani kama inajenga, na ndiyo chanzo cha viongozi kutafuta vyeti feki.
Ndio maana ameamua kwenda kwenye Politics baada ya kuona kuwa sanaa hakuna kitu cha maana zaidi ya kuwafurahisha wakubwa... ssasa nani wa kulaumiwa kwa sera mbaya katika taifa hili??
 
..Tanzania hatuthamini watu wa sanaa na wanamichezo.

..John Komba ana kipaji cha kuimba na amekitumia kufanikiwa kimaisha.

..tatizo ni mfumo wa maisha wa kifisadi na ujanja-ujanja uliopo Tanzania.

..John Komba angekuwa kwenye nchi za wenzetu angekuwa na maisha yake mazuri tu yaliyotokana na kipato halali.

..inawezekana wengine hapa wangefurahi kama John Komba angeishi maisha ya taabu na dhiki kama marehemu Mzee Mourice Nyunyusa.


NB:

..tuzingatie zaidi mchango wa mhusika ktk jamii yetu.

..kama mtu ni msomi basi tumhoji amechangia nini kwa jamii yake na taaluma yake.

..kwa wanamichezo/wasanii etc tuhoji mchango wao kwa jamii ktk michezo/sanaa etc.

..hii tabia ya kuulizana vyeti vyeti vyeti kila mara, tena hata mahali pasipohusika, sidhani kama inajenga, na ndiyo chanzo cha viongozi kutafuta vyeti feki.

Jokakuu:

Wanasema ukiona vinaelea vimeundwa. Nchi ni lazima iwe na identity yake. Na wasanii kama Nyunyusa, Mwinamila, Komba wamesaidia katika ku-define identity ya mtanzania.

Shule tunakwenda kupata maarifa ya kukuza vipaji. Lakini kuna wengine wamekuza vipaji vyao bila kuzama sana shuleni.

Vilevile miaka ya zamani, zilikuwepo nafasi chache sana. Hivyo mtu mwenye umri kama Komba kutokuwa na digrii ni kitu kinachoeleweka na sioni sababu ya watu kuuliza elimu ya Komba.
 
Na wasanii kama Nyunyusa, Mwinamila, Komba wamesaidia katika ku-define identity ya mtanzania.

Kwa Komba naomba nikupinge Mh...labda ungesema identity ya chama chake.
 
Ndio maana ameamua kwenda kwenye Politics baada ya kuona kuwa sanaa hakuna kitu cha maana zaidi ya kuwafurahisha wakubwa... ssasa nani wa kulaumiwa kwa sera mbaya katika taifa hili??

You are wrong. Komba alikuwa ni mwalimu wa shule ya msingi. Na jeshi likamchukua kwa kutokana na kipaji chake.

Na kipaji chake ndicho kilichomfikisha pale alipo. Pale sheria ilipopita kuwa wanajeshi wasiwe wanachama wa vyama vya kisiasa, waliulizwa kama wanataka kuwa nje ya siasa au kubaki jeshini. Akaamua kujitosa kwenye siasa.

Asset kubwa ya Komba ni kipaji. Na ni mmoja wa watanzania wachache sana walioweza kuishi kwa kutegemea vipaji.
 
Kwa Komba naomba nikupinge Mh...labda ungesema identity ya chama chake.

Huo ni mtazamo wako. Mwanzoni mwa 1980 na kikundi cha JWTZ walikuwa wanafanya ziara mikoani na yeye ndio aliyekuwa kivutio. Na kwenye kikundi kulikuwa na sanaa za makabila mengi tu, kitu ambacho ni identity ya Taifa.
 
Huo ni mtazamo wako. Mwanzoni mwa 1980 na kikundi cha JWTZ walikuwa wanafanya ziara mikoani na yeye ndio aliyekuwa kivutio. Na kwenye kikundi kulikuwa na sanaa za makabila mengi tu, kitu ambacho ni identity ya Taifa.

Huyu ni mbunge wa Jimbo lako? Naona unakautetezi kazuri ka kumjenga!
 
Dah, kuna vyeo vingine vya ajabu sana; yaani jamaa aliwahi kuwa "Chief Culture"
 
You are wrong. Komba alikuwa ni mwalimu wa shule ya msingi. Na jeshi likamchukua kwa kutokana na kipaji chake.

Na kipaji chake ndicho kilichomfikisha pale alipo. Pale sheria ilipopita kuwa wanajeshi wasiwe wanachama wa vyama vya kisiasa, waliulizwa kama wanataka kuwa nje ya siasa au kubaki jeshini. Akaamua kujitosa kwenye siasa.

Asset kubwa ya Komba ni kipaji. Na ni mmoja wa watanzania wachache sana walioweza kuishi kwa kutegemea vipaji.

Kama ni hivyo basi kumbe aliona mbali. Asingekua na mavumba aliyonayo sasa kama angeendelea huko kwingine. I'm sure wale wenye cheo kama chake sasa hivi kawapiga gap la kufa mtu. Ila Mbinga ndio hivyo tena kawaua!!
 
Huyu ni mbunge wa Jimbo lako? Naona unakautetezi kazuri ka kumjenga!


Sio Mbunge wangu. Lakini ni mmoja wa watanzania wachache walioweza kutumia vipaji vyao.

Na watu wanaouliza usomi wa ndugu Komba wakiweka shule zao inawezekana kabisa ni watu wasio na kisomo au wasio na talents. Ukiwa na kisomo upigi kelele, shule yako itaonekana tu. Na ukiwa na kipaji, kipaji chako kitafanya the talking.
 
Sio Mbunge wangu. Lakini ni mmoja wa watanzania wachache walioweza kutumia vipaji vyao.

Na watu wanaouliza usomi wa ndugu Komba wakiweka shule zao inawezekana kabisa ni watu wasio na kisomo au wasio na talents. Ukiwa na kisomo upigi kelele, shule yako itaonekana tu. Na ukiwa na kipaji, kipaji chako kitafanya the talking.
Sasa mbona Tanzania kuna wasomi wengi lakini wanafanya madudu mengi sana kuliko hata hawa wasomi wengi
 
Back
Top Bottom