Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Bazazi serious sikuchukii wewe ila nachukia sana comments zako tena mungu akusamehe sana wala asije patiliza dhambi hizi kwa watoto watokao kwenye viuno vyako.Binafsi sishabikii ushoga, usagaji na ufiraji to me these are dhambi kubwa
Hongera sana. Sasa jina langu linakupa shida gani kwani jamani?
Hoja yangu katika mchango wako ni kudai kuwa wanaume hawawezi kazi ya kuvunja KUFULI kwa MwanaMwali mpya (sio Mgeni). Nilichokujibu kuwa PUNYETO inamalizia hamu mnayoshindwa kuimaliza. Unakutana na mdada mbichi kama 25yrs HIVI. lakini kunako majombozi hana pumzi kabisa unaishia kugonga tugoli tuwili tu tena kwa mchana/ucku mzima. MyDear safari hii sikukushambulia, soma kati ya maneno utanipata. Nilichofanya ni mchezo wa maneno tu kupunguza ukali wa maneno.
Karibu!-Bazazi ni Bazazi!