Pesa sio kila kitu kwenye mapenzi ila inaongeza ladha kwenye mapenzi..ni kama chachandu kwenye mihogo,ikikosekana mihogo italika lakini ladha itapungua..
mwenye kisu kirefu ndo anakula nyama, nakubali.... na kisu ndo mafweza.... ila unaweza ukawa nayo ukaishia kupigwa changa la macho vile vile... hasa kama wewe ni kijana na channel hazikamati vizuri... mara ngapi tunaona mtu na mafweza yake na ana mke mzuriiiiiiii.......mwisho wa siku wife wake anatembea na house boy? unadhani kwa nn?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.