M Mangolo Member Oct 30, 2011 28 11 Oct 30, 2011 #1 Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi naombeni ushauri
Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi naombeni ushauri
M Malila JF-Expert Member Dec 22, 2007 5,149 4,674 Oct 30, 2011 #2 Mangolo said: Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi naombeni ushauri Click to expand... Je uliwahi kuwauliza watalaamu wa udongo wa sehemu unakolimia? Mvua vipi zinatosha? Mbegu unayotumia ulipata wapi?
Mangolo said: Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi naombeni ushauri Click to expand... Je uliwahi kuwauliza watalaamu wa udongo wa sehemu unakolimia? Mvua vipi zinatosha? Mbegu unayotumia ulipata wapi?