The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
the boss, kama housegirl alibakwa kwa nini asingemwambia mama mwenye nyumba? Kwa nini atume msg ya kuomba msamaha?
Ukiachilia mbali ubazazi wa mume, unajua mahousegirl wa siku hizi wanatime hizo golden chance za kulala na fazahausi? Wakiamini watachukua nafasi ya mke?
Sasa ukikuta mume kicheche matokeo yake ndo hayo.....
Hapo mume na hg wote wana makosa.....
Walllahi wanaume wengine balaa, unaweza kuwakata naniliu hivi hivi.......
So sad kwa mwanamke kusema hivi
unapaswa kujifunza 'aina za ubakaji'
na madhara yake ili uelewe kwa nini ni ngumu kwa anaebakwa kusema
tena wapo wanaobakwa hata kwa miaka na wanashindwa mwambia mtu
huyo house girl angekuwa mkorofi asingemuuliza mama mwenye nyumba juu ya kipimo cha mimba...
huyo house girl probably 'a naive little girl' na 'mume bazazi' ame take 'advantage'...
but mlivyo wanawake mnajali 'ndoa tu' bila kujali 'maisha yalivyoharibiwa' ya huyo msichana na bazazi..
hakuna hata mdada atakae kuja kushauri talaka hapa
you wait and seee....
dah.....where is Nyani ngabu ???????