KIZAKINENE
Member
- Dec 21, 2011
- 8
- 3
Ndugu zangu wanafamilia wa JF nayotoa yangu matatizo kwenu ni hivi.
Kwa kipindi cha karibu miaka kumi sasa nimekuwa nikisumbuliwa na matatizo ya ya tumbo, mwanzo nilikuwa sijui ni tatizo gani kwani lilikuwa linauma na kujaa gesi, wakati mwingine naumwa mwili mzinma nakuw na dalili zote kama mtu wenye malaria-ninapopima nakutwa sina. Mwaka 2002 nikapiga X-ray ya tumbo nikaambiwa Duodenum cup is ulcerated, nikapewa daya inaitwa Helligo-kit (samahani kama nimekosea jina la dawa hiyo) nikatumia mwezi mzima, sikupata nafuu, nikendelea kutumia madawa mengi tu ya anti-acid mpaka mwaka 2004 nikaenda hospitali nyingine nikafanyiwa Endoscopy-Yule daktari akaniambia hajaona vidonda ila wamechukua saple kutoka tumboni kwangu wataipima-Baada ya wiki mbili majibu hayakuonyesha infection yoyote tumboni, ila akasema tumboni kwangu kuna Inflamation akanipa dawa sikupata nafuu. sasa nikawa nachangnya madawa ya tiba mbadala na hospitali kwa nyakati tofauti kila hali inapokuwa mbaya. Mwaka 2010 nikaenda tena hospitali nyingine wakanifanyia endoscopy. Daktari aksema kweli ameona vidonda na ni fresh, ila pale kwenye duodenum akasema vimepona ('Healed) nikatumia dawa za gharama sana, lakini sikupata ahueni.
Nikaenda kwa Dada RAHABU wa pale Ilala na vipmo vyangu niaktumia dawa zake kama alivyonielekeza, kwa kweli nilichofanikiwa ni kuondoa ile milendamilenda ili ilyokuwa inatoka pamoja na choo, lakini maumivu yatumbo , tumbo kujaa gesi na ninapumua sana kupitia haja kubwa ambapo baada ya tendo hilo hwa napata ahueni ya muda. nimepewa masharti mengi tu ya chakula ninajitahdi
kuyafuata.
Naombeni ushauri wa kuapa dawa hii ya vidonda vya tumbo, au inawezekana nina tatizo lingine katika tumbo langu lia madaktari hawajapata ufunuo kuelewa nini kaikinanisumbua
Kwa kipindi cha karibu miaka kumi sasa nimekuwa nikisumbuliwa na matatizo ya ya tumbo, mwanzo nilikuwa sijui ni tatizo gani kwani lilikuwa linauma na kujaa gesi, wakati mwingine naumwa mwili mzinma nakuw na dalili zote kama mtu wenye malaria-ninapopima nakutwa sina. Mwaka 2002 nikapiga X-ray ya tumbo nikaambiwa Duodenum cup is ulcerated, nikapewa daya inaitwa Helligo-kit (samahani kama nimekosea jina la dawa hiyo) nikatumia mwezi mzima, sikupata nafuu, nikendelea kutumia madawa mengi tu ya anti-acid mpaka mwaka 2004 nikaenda hospitali nyingine nikafanyiwa Endoscopy-Yule daktari akaniambia hajaona vidonda ila wamechukua saple kutoka tumboni kwangu wataipima-Baada ya wiki mbili majibu hayakuonyesha infection yoyote tumboni, ila akasema tumboni kwangu kuna Inflamation akanipa dawa sikupata nafuu. sasa nikawa nachangnya madawa ya tiba mbadala na hospitali kwa nyakati tofauti kila hali inapokuwa mbaya. Mwaka 2010 nikaenda tena hospitali nyingine wakanifanyia endoscopy. Daktari aksema kweli ameona vidonda na ni fresh, ila pale kwenye duodenum akasema vimepona ('Healed) nikatumia dawa za gharama sana, lakini sikupata ahueni.
Nikaenda kwa Dada RAHABU wa pale Ilala na vipmo vyangu niaktumia dawa zake kama alivyonielekeza, kwa kweli nilichofanikiwa ni kuondoa ile milendamilenda ili ilyokuwa inatoka pamoja na choo, lakini maumivu yatumbo , tumbo kujaa gesi na ninapumua sana kupitia haja kubwa ambapo baada ya tendo hilo hwa napata ahueni ya muda. nimepewa masharti mengi tu ya chakula ninajitahdi
kuyafuata.
Naombeni ushauri wa kuapa dawa hii ya vidonda vya tumbo, au inawezekana nina tatizo lingine katika tumbo langu lia madaktari hawajapata ufunuo kuelewa nini kaikinanisumbua