<br /><br /><br />
<br /><br />
Inaleta homa tena sana 2
<br /><br /><br />
<br /><br />
kumbe wewe bado unang'ang'ania how ur name is saved kwa simu. Utapata shida kweli! Ukiwa serious na simu ya demu wako kila siku utaleta kilio gapa Jf. Cha msing take time kujua aina na tabia ya mpenz uliyenaye.
Unaweza ukawa kweli ukaibiwa au unaweza ukawa huibiwi. Hapo ni 50/50.
Lakini kukataa kuitwa daddy? Nakushangaa.
Halafu wewe majina yako mengine humu ni nani?
Nina girlfriend wangu ambaye nimekuwanaye kwa miaka mitatu sasa.na tumeishi muda wote kwa upendo.jana alikuja kunitembelea,wakati wa maongezi na stori za hapa na pale ndipo nikashka simu yake ili kutaka kujua amenisave jina gani.nikakuta kanisave "Daddy"sikumwambia chochote nikamrudishia simu yake.naomba mnishauri nifanyeje?