Naomba ushauri wenu wana jf

Dunia ina mengi, kila siku matangazo yanasema VUNJA UKIMYA, ni kwa namna hiyo tu unaweza kuwa na uhakika nn kinaendelea na mpenz wako huo ndio ushaur pekee unokufaa kwa sasa yaan, mtafute kwa namna yoyote, ujue yupo salama au hapana, baada ya hapo mengine yatafuata. sim sio njia pekee ya mawasiliano kumbuka kwa haitoshi kukuaminisha kuwa jamaa kaingia mitini, teh ingawa inawezekana coz miez 8 bila tundi mhhhhhhhhhhhhhhhh...............
 
Jaribu kumtumia sms ambayo unaona kuwa utamshitua kidogo then angalia kama ata respond kama haja respond bac anamatatizo inabidi ujaribu kumtembelea lakini akirespond bac ujue anakutaftia sababu ya kukuacha
 
PakaJimmy huo ugonjwa wa kummiss mtu dalili zake ni zipi?
Catherine
-Mawazo mengi,
-Ubongo kuuma sana,
-Kukosa hamu ya chakula,
-Ndoto nyingi sana, zote za anayeutesa moyo wako.
-Kuona kizunguzungu sana na kupata kifafa cha mda, kitaalamu tunaita 'Hysteria'
-Usipotibiwa haraka hali huwa mbaya, na bila kuwa makini watu wanaweza kuimba "Si mbaliiii, Karibu...Tutaimba na sisi hukooo" (Ijulikane kuwa ugonjwa wa mapenzi hutibika kwa mapenzi)
 
Last edited by a moderator:
Kwanini unamnyima mwenzio yapata miezi minane!

Ukute tatizo ni tunda la katikati ndio limemfanya hauchune ana jua akikwambia utakataa au atakupoteza.

Ila nenda kwake ukamuangalie ukute ana tatizo!

NB: Ukiona manyoya ujue kuku wako kaliwa!
 
ni vema ukaenda home kwake na kama akikutimua basi unaweza kupata picha,but huenda ana tatizo limemkuta au vipi
 
Poleni na majukumu yanayowakabili,

Mm ni msichana mwenye umri wa miaka 26,kwa mara ya kwanza najiunga na jf nikiomba ushauri wenu

Nina mpenzi wangu nampenda sana na hatuna mda mrefu, tuna miezi nane hatujawahi kufanya mapenzi ila tuna chati na kutembeleana, Ila kinachonitatiza yapata wiki sasa nikipiga cm hapokei wala sms hajibu,na hajanieleza chochote kama kapata mwingine au la sielewi nifanyeje kwa hili naomba ushauri wenu


Rudi nyuma kidogo kama miaka 10 hivi wakati mobile phone hazijaenea? Mtafute nyumbani ili umuulize uso kwa uso kunaniii?
 
Kwanza karibu sana majukwaani kwa mara ya kwanza.
Mtembelee kwenye makazi yake...huenda amepatwa na la kupatwa!...usije ukamhukumu bure, kumbe mwenzio yuko hoooi kitandani, akiwa anaumwa ugonjwa wa kukumisi wewe!
Hata mi naona...
 
Kwanza karibu sana majukwaani kwa mara ya kwanza.
Mtembelee kwenye makazi yake...huenda amepatwa na la kupatwa!...usije ukamhukumu bure, kumbe mwenzio yuko hoooi kitandani, akiwa anaumwa ugonjwa wa kukumisi wewe!

well said PakaJimmy

PakaJimmy huo ugonjwa wa kummiss mtu dalili zake ni zipi?
Catherine usiuombe uugue huu ugonjwa just ask Kongosho atakusimulia vzuri kuhusu maumivu ya mapenzi.

Catherine
-Mawazo mengi,
-Ubongo kuuma sana,
-Kukosa hamu ya chakula,
-Ndoto nyingi sana, zote za anayeutesa moyo wako.
-Kuona kizunguzungu sana na kupata kifafa cha mda, kitaalamu tunaita 'Hysteria'
-Usipotibiwa haraka hali huwa mbaya, na bila kuwa makini watu wanaweza kuimba "Si mbaliiii, Karibu...Tutaimba na sisi hukooo" (Ijulikane kuwa ugonjwa wa mapenzi hutibika kwa mapenzi)
PakaJimmy huwa tunaanzaga hivi " nchi nzuri ya metameta uonekana kule mbaliiii......"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom