frank lujaju
Member
- Aug 21, 2011
- 58
- 4
Ni mwaka mmoja sasa tangu tuhitarifiane na mpenzi wangu wa awali ,sababu ya mimi na yeye kukwaruzana na kuachana ni pale nilipohitaji kujua ukweli wa jambo fulani baada ya kulisikia,lakini matokeo yake akaamua kunitext kwamba nimuache aendelee na masomo yake na she will not care about what I will think on her,na mm wala sikuchukua muda nikamwambia ok tanx,kwakuwa unataka concetration ktk masomo ok go.Lakini kiukweli sikuwa sawa kwa takribani mwezi mzima na kibaya zidi nililia mbele ya Mama,ambaye pia alimfahamu huyu binti coz hadi home alishafika,mama akaniambie muche utapata mwingine.Tulikuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miezi Minane she was da first to me.baada ya miezi kama miwili kanifuata kazini cku ya jmosi eti akiomba msamaha nikamwambie nimekusamehe but kiukweli nilikuwa sijamsamehe coz nilitaka tu aondoke fasta.Sikuwa tena na hamu naye sms zake ckutaka hata kuwa nazijibu,ikawa inamuuma sana akagundua kuwa msamaha wangu ulikuwa fake,basi mwaka huu nikaamua kuchukua hamsini zangu na kutafuta penzi lingine na sasa niko kwenye mahusiano mapya kwa takribani miezi minane na nusu na mtu mwingine.Kilicho nishangaza tena mwezi ulio pita mpenz wa zamani karudi tena mara ya pili kuniomba msamaha,na anajutia kosa na alinitumia sms ya mm na yy kuachana coz alipanic coz baba yake alikuwa mgonjwa na mm nikawa namchanganyia stori zisizo za ukweli,na anaomba tuwe marafiki mm nilikubali kutoka moyoni kwamba nimemsamehe ila hajui kama niko kwenye penzi jipya na sitaki kumuumiza mwenzangu,ila kumchana laivu namuurumia coz yuko mwishoni mwishoni mwa elimu yake naogopa ataharibu,mpenzi wangu mpya kila inshu kuhusu mpenzi wa zamani anazijua,sijuhi sasa nifanyeje kumuweka wazi huyu wa zamani,ushauri pliiiiiiiiiiiiiz,