unlucky
Senior Member
- Aug 9, 2011
- 199
- 56
mimi nina mume wangu niko nae leo miaka sita na nimezaa nae watoto watatu lakini tatizo ni kwamba mume ananitesa sana ananipiga hata nikiwa na mimba ya miezi 8,na pili ni malaya sana anaenda nje kila siku anabadilisha wanawake analala nje siku zingine ndani hakai hata kukaa na mimi kuongea hana mda yeye anakuja humu ndani kama gesti analala masaa 4 tu nakuondoka ananiambia mie mfanyakazi tu wa kulea watoto wakiwa wakubwa atawachukua na mie kuniacha,naomba mnipe ushauri nifanyeje niendelee kuvumilia mateso au...??