Ballot
Member
- Jan 4, 2012
- 39
- 12
mimi ni mtanzania ninaishi botswana'serikali ya nchi hii imeamua kutoa sheria kali kwa wageni wanaofanya kazi na biashara'nina kampuni lakini wamenipa masharti magumu kabisa ya kupata leseni'suluhu ya tatizo hili nimeamua kumkabidhi mwenyeji kampuni yangu kwa kuwa sheria haibani wazawa'
Nimebadilisha share certificate na kila kitu kuhusu kampuni kuwa kwenye jina la huyu mzawa'bank signatory tunasaini wawili'lakini tunaenda kwa mwanasheria wake kufanya makubaliano ya kwamba kampuni ni mali yake ila mimi kuwepo pale ni kwa ajili ya kujenga kampuni na faida yoyote itakayopatikana tunagawana 50/50'naombeni ushauri je
Naweza kuja kudhulumiwa huko mbele?
Je yule mwanasheria anaweza kuandika vitu nisivyojua ili baadaye nishindwe?
Nimebadilisha share certificate na kila kitu kuhusu kampuni kuwa kwenye jina la huyu mzawa'bank signatory tunasaini wawili'lakini tunaenda kwa mwanasheria wake kufanya makubaliano ya kwamba kampuni ni mali yake ila mimi kuwepo pale ni kwa ajili ya kujenga kampuni na faida yoyote itakayopatikana tunagawana 50/50'naombeni ushauri je
Naweza kuja kudhulumiwa huko mbele?
Je yule mwanasheria anaweza kuandika vitu nisivyojua ili baadaye nishindwe?