Poleni na majukumu wakuu. Nina ndg yangu ana mtoto mdogo wa miezi 10, bahati mbaya amegundu ni mjamzito, yuko ndani ya ndoa na hana mpango wa kutoa mimba kwani ni dhambi kwa Mungu.
Swali lake, je mtoto amuachishe kunyonya au aendelee kumnyonyesha hadi mimba ikiwa na miezi mingapi? Na je kuna madhara yoyote mtoto anapoendelea kunyonya?
Maziwa yanatoka kama kawaida
Swali lake, je mtoto amuachishe kunyonya au aendelee kumnyonyesha hadi mimba ikiwa na miezi mingapi? Na je kuna madhara yoyote mtoto anapoendelea kunyonya?
Maziwa yanatoka kama kawaida