Wanajamii naomba ushauri wenu wa kisheria.
Sisi wafanyakazi wa Hospitali ya mji wa NJOMBE iitwayo KIBENA tulihamishwa kuanzia Juni 2010 kutoka kwa mwajiri wetu wa awali ambaye ni DED - NJOMBE DC tukapelekwa kuwa chini ya TED-NJOMBE TC ingawa kituo chetu cha kazi kilibaki kuwa Kibena Hospitali lakini tulipata usumbufu wa mafaili yetu kuhamishwa kutoka ofisi moja hadi nyingine ambapo baadhi yetu mishahara ilimix up na wakachelewa sana kulipwa pia hata kazi za malipo ya ziada yalicheleweshwa sana.
Kwa kawaida mfanyakazi anapohamishwa huwa anastahili malipo mbalimbali kama subsistency allowance, distrubance allowance pia travel allowance. Tulipoulizia kwa mwajiri wetu mpya NJOMBE TC alijibu kuwa hatustahili chochote. Je mwajiri wetu yupo sahihi au katupiga changa la macho?
Sisi wafanyakazi wa Hospitali ya mji wa NJOMBE iitwayo KIBENA tulihamishwa kuanzia Juni 2010 kutoka kwa mwajiri wetu wa awali ambaye ni DED - NJOMBE DC tukapelekwa kuwa chini ya TED-NJOMBE TC ingawa kituo chetu cha kazi kilibaki kuwa Kibena Hospitali lakini tulipata usumbufu wa mafaili yetu kuhamishwa kutoka ofisi moja hadi nyingine ambapo baadhi yetu mishahara ilimix up na wakachelewa sana kulipwa pia hata kazi za malipo ya ziada yalicheleweshwa sana.
Kwa kawaida mfanyakazi anapohamishwa huwa anastahili malipo mbalimbali kama subsistency allowance, distrubance allowance pia travel allowance. Tulipoulizia kwa mwajiri wetu mpya NJOMBE TC alijibu kuwa hatustahili chochote. Je mwajiri wetu yupo sahihi au katupiga changa la macho?