Naomba ushauri tafadhali,nimetolewa kwenye ajira mpya/ualimu

Frank J M

New Member
Jan 12, 2013
4
0
Habari wana Jf. Naombeni msaada na ushauri wenu! Nilikuwa nimeorodheshwa kwenye website ya Elimu nikiwa miongoni mwa wlimu wapya ( shahada). Nikiwa mwl wa Mathematics na nilipangwa wilaya mojawapo ya mjini! Nimesafiri toka mkoa ninaoshi mpaka hapa mjini! Nikiwa hapa nimepitia yale majina,cha ajabu jina langu sijaliona! Je kuna mabadiliko yoyote? Au niende tu hiyo kesho kwa mkurugenzi nikaripoti?
 
Vyeti vyote ninavyo na hata ile orodha ya kwanza nili -print,sasa nimeangalia sijaliona! Msaada tafadhali
 
Ingia kwenye web ya wizara download majina ya page yako kisha uende nayo wakati wa kuripoti. Usijali serikali yetu haina takwimu na watendaji wetu ndo hao wanafanya kazi wanavyojisikia.
 
Usiogope wewe nenda karipoti kwa mkurugenzi,na muoneshe hiyo kopi uliyokuwa umetoa kopi utajua hko mbele,ila usiogope!
 
usisahau kutujulisha kama umefanikiwa au la for further help!
 
ni matatizo ya kawaida na wala usiogope,cha msingi kawaone wahusika yan idara ya elimu hapo wilayan wata solve tatizo.walimu wanahitajika sana na ukizingatia we ni mwalimu wa mathematics hawawez kukupoteza kwan mko wachache sna tz na umuhimu wenu n mkubwa kwa jamii zetu.KARIBU KWENYE UALIMU UJUE CHUNGU NA TAMU YA KAZI YA UALIMU.
 
Habari wana Jf. Naombeni msaada na ushauri wenu! Nilikuwa nimeorodheshwa kwenye website ya Elimu nikiwa miongoni mwa wlimu wapya ( shahada). Nikiwa mwl wa Mathematics na nilipangwa wilaya mojawapo ya mjini! Nimesafiri toka mkoa ninaoshi mpaka hapa mjini! Nikiwa hapa nimepitia yale majina,cha ajabu jina langu sijaliona! Je kuna mabadiliko yoyote? Au niende tu hiyo kesho kwa mkurugenzi nikaripoti?
Frank J M umeitwa kazini kwa kuona jina kweny mtandao au umepewa barua? Elimu ya Tanzania inahitaji maboresho makubwa sana inawezekana mpaka wahitimu wa chuo wangepewa mtihani uliotungwa na chombo tofauti na walimu wao na kusahihishwa na chombo tofauti na walimu wao ...wengi wao ni "failure"
 
Last edited by a moderator:
Kama ulioneka kwenye maandamano ya cdm ujue ni hila ya magamba ila usikate tamaa endelea kukomaa labda ume-overlook
 
Habari wana Jf. Naombeni msaada na ushauri wenu! Nilikuwa nimeorodheshwa kwenye website ya Elimu nikiwa miongoni mwa wlimu wapya ( shahada). Nikiwa mwl wa Mathematics na nilipangwa wilaya mojawapo ya mjini! Nimesafiri toka mkoa ninaoshi mpaka hapa mjini! Nikiwa hapa nimepitia yale majina,cha ajabu jina langu sijaliona! Je kuna mabadiliko yoyote? Au niende tu hiyo kesho kwa mkurugenzi nikaripoti?

Tena maths unaogopa nini?
 
Kiwewe tu hcho....utakua umeoverexcite na uka overlook orodha...kaa chini na uipitie tena orodha taratiiiiibu huku ukitabasamu!
 
frank j m umeitwa kazini kwa kuona jina kweny mtandao au umepewa barua? Elimu ya tanzania inahitaji maboresho makubwa sana inawezekana mpaka wahitimu wa chuo wangepewa mtihani uliotungwa na chombo tofauti na walimu wao na kusahihishwa na chombo tofauti na walimu wao ...wengi wao ni "failure"
kwani walimu huwa wanapewa barua?ninavyojua ukishapangiwa pa kwenda unaenda halmashauri husika unaripoti, unasaini mkataba ,unapangiwa shule ya kwenda....
 
kwani walimu huwa wanapewa barua?ninavyojua ukishapangiwa pa kwenda unaenda halmashauri husika unaripoti, unasaini mkataba ,unapangiwa shule ya kwenda....
mpalu mfano mimi niko huku Longido hilo jina nitaliona wapi wakati hakuna umeme internet ni msamiati? Barua zenyewe zinapitia kanisani
 
Last edited by a moderator:
mpalu mfano mimi niko huku Longido hilo jina nitaliona wapi wakati hakuna umeme internet ni msamiati? Barua zenyewe zinapitia kanisani
umepost hii post kwa kutumia nini vile.....bora hiyo net utaenda hata wilayani..utawapigia hata simu washikaji wakupe umepangwa wapi sia amini kama hilo litashindikana maana kwa serikali hii wakisema barua ndo itachukua mwaka mwingine
 
umepost hii post kwa kutumia nini vile.....bora hiyo net utaenda hata wilayani..utawapigia hata simu washikaji wakupe umepangwa wapi sia amini kama hilo litashindikana maana kwa serikali hii wakisema barua ndo itachukua mwaka mwingine

Mimi niko A Town; natolea mfano wale watoto wa wakulima na wafugaji wasiokuwa na network mjini hivyo wakimaliza chuo wanarudi kijijini mpalu
 
Last edited by a moderator:
Mimi niko A Town; natolea mfano wale watoto wa wakulima na wafugaji wasiokuwa na network mjini hivyo wakimaliza chuo wanarudi kijijini mpalu
ninayojua wale uliosoma nao chuo nao ndio network yako iyo ni kiasi cha kuwauliza tu wao kwa simu....
 
Back
Top Bottom