Marcus Aurelius
Member
- Jul 21, 2012
- 86
- 21
Heshima yangu iwafikie wakuu,
Kuna mtu anataka nimpatie TShs 400,000 anipatie Nashuatec DSm 725 Africio Photocopier. Imetumika, ina toner mpya ila kwa mujibu wake, kuna kifaa cha matengenezo cha TShs 250,000 cha kununua.
Tafadhali ninaomba ushauri wenu wataalam,.
Ahsanteni sana,
Marcus.
Kuna mtu anataka nimpatie TShs 400,000 anipatie Nashuatec DSm 725 Africio Photocopier. Imetumika, ina toner mpya ila kwa mujibu wake, kuna kifaa cha matengenezo cha TShs 250,000 cha kununua.
Tafadhali ninaomba ushauri wenu wataalam,.
Ahsanteni sana,
Marcus.