JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
..naomba ushauri kuhusu matumizi ya matofali ya kuchoma ktk ujenzi.
..what are the advantages/disadvantages za matumizi yake ktk ujenzi.
..najua vijijini wako mafundi wanaoyamudu matofali haya, je mjini kama DSM na Arusha kuna mafundi wazuri?
..vipi kuhusu value ya nyumba iliyojengwa kwa matofali ya kuchoma ikiwa nitaamua kuiuza?
..what are the advantages/disadvantages za matumizi yake ktk ujenzi.
..najua vijijini wako mafundi wanaoyamudu matofali haya, je mjini kama DSM na Arusha kuna mafundi wazuri?
..vipi kuhusu value ya nyumba iliyojengwa kwa matofali ya kuchoma ikiwa nitaamua kuiuza?