JONATHAN KAMWAVAH'S
Senior Member
- Oct 9, 2012
- 184
- 24
Jamani mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26,maumbile yangu ya kiume ni makubwa kiasi cha kulizisha tu yani nnchi 7.3urefu na nnchi 2.1 upana,mwenzenu wakati wa kufanya mapenzi na chelewa sana kushusha mzigo kiasi kwamba mwanamke anaweza akashusha mla nne mimi mkavu!na sijawai kutumia dawa yoyote toka nizaliwe ya kuongeza nguvu wala nini na chakula nachokula ni chakawaida sana,je ni vizuri kuwa na ali kama hii,naombeni ushauli nijuwe kwani natafuta mchumba nisije achwa kisa ali hii.