SODOKA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2012
- 1,658
- 722
Hello JF
Hope you are doing fine...ndugu zangu hiki chuo nakiogopa sana kwani kina mizengwe kibao,,mara kifutwe mara kirudishwe..nahitaji ushauri wenu
kutokana na vyuo vingi vya serikali vya afya kujaaa...na kutokana na cheapest fee nimeona KIU ada yao ni 950,000 per year kwa diploma ya clinical medicine na capacity ni kubwa wanahitaji watu 800 ...naogopa naomebeni ushauri kwanza bajameni
Hope you are doing fine...ndugu zangu hiki chuo nakiogopa sana kwani kina mizengwe kibao,,mara kifutwe mara kirudishwe..nahitaji ushauri wenu
kutokana na vyuo vingi vya serikali vya afya kujaaa...na kutokana na cheapest fee nimeona KIU ada yao ni 950,000 per year kwa diploma ya clinical medicine na capacity ni kubwa wanahitaji watu 800 ...naogopa naomebeni ushauri kwanza bajameni