lilly petet
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 144
- 22
habari wana jamii forum mm ni mdada mwenye umri wa kati, naishi na mwanaume kama mume wangu ana tabia ambazo kwa kweli sizielewi kabisaaa! kwanza kwetu hajatoa chochote, pia yanayonikera ni haya mambo ya ndani, kwanza ni mtu wa kununa bila sababu yoyote, anakunywa pombe kitu ambaho mm sipend pia anakula ugoro ...naomben ushaur wana jf